• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC azitaka Amcos kutunza takwimu za wakulima kwenye maeneo yao

Posted on: August 5th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  amewataka viongozi wa vyama vya msingi (Amcos) kutunza takwimu za ugawaji wa pembejeo kwa wakulima katika maeneo yao  

Viongozi wa Amcoss Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Mhe.Dc Sawala (hayupo pichani)

Ameyasema hayo  wakati akizungumza na viongozi wa vyama vya ushirika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kuwasistiza kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia,miongozo,taratibu ,kanuni na sheria katika kutoa huduma

Mhe.Kanali Patrick Sawala akieleza jambo kwa viongozi wa vyama vya  msingi(hawapo pichani)

“Serikali imetoa pembejeo bure kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji, tendeni haki kwa wakulima  gaweni pembejeo  bila upendeleo, takwimu hizo mzitunze  vizuri,”amesema Dc Sawala

Aidha Dc  Sawala amesema serikali imeahidi kutoa  mbegu za ufuta kwa wakulima ,ni wajibu wa wakulima wa Tandahimba kutumia nafasi hiyo ili kuweza kuongeza kipato kwa kulima mazao mengine ya kibiashara sambamba na wakulima kuendelea kusafisha mashamba yao

Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi wa vyama vya msingi 133  vilivyopo Wilaya ya Tandahimba

Naye Meneja Mkuu  wa Chama kikuu Tandahimba na Newala(Tanecu) ndg. Mohamed mwinguku   amewasistiza viongozi wa vyama vya ushirika ambao hawajachukua vipima unyevu  wafanye hivyo ili kuendelea kuipa thamani korosho ya Tandahimba

Meneja Mkuu wa Tanecu ndg.Mohamed Mwinguku akieleza jambo kwa  viongozi wa Amcos

Afisa Kilimo wa Wilaya ndg.Issa Naumanga akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji amesema kuwa  wataendelea kushirikiana na amcos  ili kuendelea kuongeza  uzalisalishaji  wa zao la Korosho ndani ya Wilaya

Afisa Kilimo Wilaya ya Tandahimba ndg.Issa Naumanga akieleza jambo kwa viongozi wa Amcos

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                             

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa