• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

CMT wafanya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi ya afya na elimu

Posted on: June 10th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Wakuu wa Idara na Vitengo (CMT)  wametoa rai kwa fundi viongozi wa miradi ya ujenzi wa vituo vya afya na Elimu kuongeza kasi ili miradi hiyo iweze kukamilika na wananchi waweze kunufaika nayo kwa wakati

Hayo wameeleza leo Juni 10,2022 ambapo wamefanya ziara ya kutembelea vituo vya afya vitatu ambavyo ni kituo cha afya Litehu,Mambamba na Mihambwe ambapo serikali ilitoa fedha  awamu ya kwanza shilingi milioni 750   ambapo mradi wa ujenzi wa vituo vyote vitatu  upo katika hatua  za ukamilishaji

Katika awamu ya pili Serikali kuu imetoa fedha  shilingi Milioni 750 kwa ajili ya kuongeza majengo katika vituo hivyo vitatu fedha ambazo tayari zimeanza kufanya kazi ambapo tayari msingi wa jengo umechimbwa

Aidha katika ziara hiyo CMT ilitembelea Shule ya Sekondari ya mfano ya Litehu ambapo jumla ya kiasi cha shilingi Milioni 470 zimetolewa na Serikali Kuu kwa ajili ya ujenzi wa vyumba nane vya madarasa,jengo la maktaba,chumba cha kompyuta,maabara ya fizikia,bailojia na kemia,jengo la utawala na ujenzi wa matundu ya vyoo 20

Miradi hiyo ikikamilika wananchi watapata huduma ya afya karibu na wanafunzi wa kata ya litehu watasoma katika kata yao ambapo kwa sasa wanasoma katika kata jirani

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa