• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baraza la madiwani Tandahimba wapitisha Bajeti ya zaidi ya Bil.43.7

Posted on: March 9th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imepitisha mapendekezo ya rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022 kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 43.7

Baraza hilo ambalo limefanyia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Tandahimba limepitisha fedha hizo zilizotokana na mapato ya ruzuku kutoka serikali kuu , mapato ya vyanzo vya ndani vya Halmashauri na wafadhili

Baraza la madiwani Halmashauri ya Tandahimba wamepitisha rasimu ya bajeti

Akizungumza kwenye baraza hilo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mh.Katani Katani amesema kuwa madiwani  na wakuu wa idara washirikiane  pamoja ili kuijenga Tandahimba na kuwaletea wananchi maendeleo

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mh.Katani Katani akitoa neno kwenye baraza la madiwani

“Madiwani mshirikiane na wakuu wa Idara ili kuwaletea maendeleo kwa kasi wananchi wa Tandahimba,tumechelewa tunahitaji kukimbia  lakini tunategemeana hivyo msimamie miradi inayokuja katika maeneo yenu kwa uadilifu,”amesema Mh.Katani

Naye Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema kuwa fedha za  miradi ambazo zinakwenda kwenye kata zitumike kwa kutekeleza miradi yenye ubora kwakuwa serikali inatumia fedha nyingi kuwaletea wananchi  maendeleo

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mh.Sebastian Waryuba akizungumza kwenye baraza la madiwani

“Simamieni miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yenu kwa kuzingatia taratibu  na kanuni ili wananchi wanufaike nayo nawapongeza madiwani kwa kuipitisha bajeti ya mwaka 2021/2022 ,”amesema Dc Waryuba

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Said Msomoka amesema kuwa miradi inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali wataalaum wataendelea kusimamia  ipasavyo ilete tija kwa wananchi wa Tandahimba

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba akitoa pongezi kwa idara ya mipango kwa maandalizi ya bajeti ya mwaka 2021/2022

“Nawapongeza Idara ya Mipango kwa maandalizi ya bajeti hii lakini naamini wataalam wa Halmashauri wana nia ya kuifanya Tandahimba iwe juu kimaendeleo lakini pale kwenye mapungufu ofisi zipo wazi  kupata ufafanuzi au kutoa ushauri kuhusu eneo lako kwakuwa wote tunaijenga Tandahimba moja kimaendeleo ,”amesema ndg Msomoka

Afisa Mipango ndg .Karim Mputa akisoma rasimu ya bajeti ya mwaka 2021/2022 kwenye baraza la madiwani

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa