• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA WAMPONGEZA RAIS WA AWAMU YA SITA FEDHA ZA MIRADI YA BOOST

Posted on: May 11th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wamempongeza Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa  fedha za miradi ya  utekelezaji wa miundombinu ya shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kiasi Tsh.665,100,000 kupitia mradi wa BOOST

Pongezi hizo wamezitoa Mei 11,2023 wakati wakiwasilisha taarifa za miradi ya Maendeleo  ya Kata zao  katika mkutano wa Baraza la madiwani  kwa kipindi cha robo ya tatu 2022/2023  uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri

Akifafanua zaidi Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amesema fedha hizo tayari zimeanza kufanya kazi katika maeneo husika  ambapo Halmashauri imejipanga kutekeleza miradi hiyo kwa wakati na ubora

" Tunamshukuru sana Mama yetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan  kwa fedha hizi ambazo zitaboresha ujifunzaji na ufundishaji katika shule zetu za msingi ,sisi Halmashauri kwa Ushirikiano tulionao  tutatekeleza miradi hii kwa wakati na ubora ili iweze kutumika ," amesema Mwenyekiti

Mkutano wa Baraza la Madiwani  robo ya tatu 2022/2023  umeanza Mei 11,2023  na utahitimishwa Mei 12,2023 ambapo  agenda tatu  kati ya tisa  zimewasilishwa na kujadiliwa kwa siku ya kwanza

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa