• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

Posted on: February 13th, 2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba limepitisha Makisio ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2025/2026 ya kiasi cha Shilingi  Bilioni 40.2. 


Bajeti ya Maendeleo  kwa Mwaka wa Fedha  2025/2026 umewasilishwa na  Mkuu wa Idara ya Mipango David Sinyanya kwa niaba ya  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba katika  ukumbi wa mikutano wa Halmashauri .


Amesema Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imekadiria kukusanya na kutumia Shilingi Bilioni 40.2 ambapo Ruzuku ya Mishahara Silingi Bilioni 24.9, Ruzuku ya matumizi mengineyo Shilingi Bilioni 2.8,Mapato ya ndani shilingi Bilioni 7.3 na ruzuku ya wafadhili shilingi Bilioni 5.06.


Sambamba na Bajeti hiyo ya Halmashauri Taasisi mbalimbali zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba zimewasilisha Bajeti zao katika Baraza hilo ambapo Mwakilishi wa Meneja wa Wakala wa Barabara  za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Tandahimba Scola Nyagali akiwasilisha  Mpango na Bajeti ya Mwaka 2025/2026 amesema kiasi cha Shilingii Bilioni 8.5  kimekadiriwa kutekeleza ujenzi na matengenezo ya Mtandao wa barabara .


Nyagali ameongeza kuwa kupitia bajeti hiyo TARURA itafanya matengenezo ya kawaida KM 483.57,Matengenezo ya sehemu korofi KM 105.05, Matengenezo Maalum KM 60.20,Matengenezo ya barabara  kwa kiwango cha lami KM 9.19,ukarabati wa barabara KM 16,Ujenzi wa mifereji M.1200 na ujenzi wa Makalavati 


Naye Mwakilishi wa  Wakala wa Maji  safi na Usafi wa Mazingira (RUWASA) Wilaya ya Tandahimba Hassan Mawenya amesema Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2025/2026  ni shilingi Bilioni 4.2 ambayo itatumika kwenye utekelezaji wa miradi ya Maji katika Wilaya hiyo.


Baraza la Madiwani limepongeza waandaaji wa Bajeti hiyo kwa kuzingatia vipaumbele mahususi vilivyowekwa Kwa ajili ya Maendeleo ya Halmashauri wakiamini Miradi ya Maendeleo itatekelezwa na Wananchi watapata huduma Stahiki.

#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa