• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Tandahimba lavunjwa ,Dc Waryuba awatakia maandalizi mema

Posted on: June 10th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

   Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kwa kipindi cha miaka mitano limefanikiwa kupitisha miradi mbalimbali ya maendeleo  ikiwemo utekelezaji wa  barabara ya lami ya km3 kwa mapato ya ndani na kuridhia kukatwa kwa shilingi 20 kwa kila kilo moja ya korosho kwa wakulima kwa ajili ya maendeleo ya wananchi . 


Baraza la Madiwani Halmashauri ya Tandahimba                                                                                                                                                                                                                                  

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kipindi cha miaka  mitano 2015/2016 hadi mwaka 2019/2020  ambayo iliwasilishwa na Afisa Mipango Hassan Nzyungu  katika  Baraza la Madiwani ambalo limefanyika  Katika ukumbi wa Halmashauri

 “Kwa kipindi cha miaka mitano shughuli mbalimbali za maendeleo  zimefanyika kwa ushirikiano mkubwa wa madiwani kama ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho,karakana ya ufundi na usimamizi wa miradi mbalimbali ambayo imefanyika katika kata ,”amesema Nzyungu 

  

 Afisa Mipango Hassan Nzyungu akisoma taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha miaka mitano                                           

 Naye Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema kwa kipindi cha miaka mitano Baraza la madiwani limeweza kufanya kazi  kwa ushirikiano  na Halmashauri bila kuweka itikadi za vyama vyao

Dc amesema  Maendeleo hayana Chama hivyo madiwani waliweza kusimamia miradi mbalimbali ambayo imefanyika katika kata zao ili wananchi waweze kupata huduma mbalimbali za kijamii                                                                                                

“Niwapongeze madiwani kwa kipindi chenu cha udiwani  mmeweza kushirikiana vizuri na Halmashauri na wataalamu wetu  ili kuiletea maendeleo Wilaya yetu bila kujali toafuti za itikadi ya vyama  nawapongeza sana,"amesema Waryuba


Wakuu wa Idara na Vitengo waliohudhuria kuvunjwa kwa  baraza hilo

Aidha naye Makamu Mwenyekiti wa Baraza la madiwani Salum Makuyeka wakati akivunja baraza hilo amesema kuwa wanotarajia kugombea tena wafuate utaratibu na ambao hawatafanikiwa kupata wawe mabalozi wema katika maeneo yao

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa