• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baada ya Uhakiki TASAF yazifikia kaya 7250 Halmashauri ya Tandahimba

Posted on: December 29th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kaya  maskini7250 katika  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba zitaendelea  kunufaika na mpango wa mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF baada ya kuhakikiwa huku kaya 150 zimeoondolewa kwenye mpango kwa sababu mbalimbali

Akitoa tathimini ya  zoezi la uhakiki  kaya maskini  Mratibu wa TASAF Wilaya ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi amesema kuwa idadi hiyo imepatikana baada ya walengwa waliokosa kuhakikiwa katika kipindi cha pili awamu ya tatu kilichofanyika mwezi agosti kurudiwa  mwanzoni mwa mwezi Disemba mwaka huu

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi

“Baada ya zoezi la uhakiki mwezi huu Disemba  kwa kaya ambazo hazikuhakikiwa mwezi Agosti sasa katika Halmashauri yetu wanuifaika  ni kaya 7250 ambao wataendelea na mpango wa malipo ,”amesema Mratibu

Mratibu amesema katika  tathimini hiyo kaya 88 zimeondolewa katika mpango baada ya wakuu wa kaya kufariki dunia na hawana wanufaika,kaya 70 zimebainika kuhama makazi  yao ya awali na kuhamia  maeneo mengine  

Wanufaika wa mpango wa TASAF 

Aidha amesema katika zoezi hilo la uhakiki wa Disemba  kaya 480 kati ya   kaya 755 zimehakikiwa  taarifa zao na matokeo yake ni  kaya 480 zimehakikiwa na zitaendelea na mpango,kaya 2 zimejitoa baada ya kujitosheleza

Wanufaika wakiwa kwenye ofisi ya kijiji cha Chikongola 

“Zoezi limefungwa rasmi,nawasihi walengwa endapo wataona katika taarifa zao  kuna makosa yamejitokeza wasisite kutoa taarifa kwa watendaji wa vijiji na ambao watakuwa na malalamiko fomu zipo  maalum kwa ajili ya kujaza,”amesema Mratibu

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa