• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

AMCOS zatakiwa kuzingatia Ubora wa Korosho katika maghala yao Msimu 2022/2023

Posted on: October 17th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Kuelekea msimu wa Korosho Viongozi wa vyama vya Ushirika vya Msingi (AMCOS) Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wametakiwa kuzingatia ubora wa  korosho wanazopokea katika  maghala yao

Akifungua kikao kazi  cha viongozi wa vyama vyote vya Ushirika vya msingi Oktoba 17,2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri Katibu Tawala Wilaya ya Tandahimba Ndg.Juvenile Mwambi amesema kuwa viongozi wa Amcos wana nafasi kubwa ya kuhakikisha Korosho inayoingia katika ghala zina ubora unaotakiwa

“Tunaelekea kwenye msimu  wa 2022/2023 natoa wito kwenu viongozi wa Amcos  kuhakikisha  Korosho mnazopokea katika maghala yenu zina ubora  unaotakiwa  mjiridhishe kabla hazijapelekwa  katika Ghala Kuu,”amesema Katibu Tawala

Naye Meneja wa Tanecu Tandahimba Bi.Sababu Juma amesema kuwa maandalizi ya mauzo ya Korosho kwa msimu 2022/2023 yamekamilika  ambapo Mnada wa kwanza utafanyika Oktoba 21,2022 katika kijiji cha Mitondi B Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji  Ndg.Mussa Gama alitumia nafasi hiyo kuwapongeza Tanecu kwa kuwa miongoni mwa vyama bora Nchini kusimamia Korosho

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa