• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Afisa Mwandikishaji Jimbo awataka Bvr kit na Waandikishaji kuwa waadilifu

Posted on: May 1st, 2020

 

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Tandahimba Said Msomoka amewataka Bvr kit operator na waandikishaji wasaidizi kuifanya kazi hiyo kwa uadilifu na uamnifu ili kulinda vifaa vya Serikali ambavyo vimenunuliwa kwa gharama kubwa.

Ameyasema hayo jana wakati akifungua  mafunzo ya awamu ya pili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura  ambayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba

“Tumewaamini ndiyo maana tumewachagua tunaomba mkaifanye kazi hii kwa uadilifu na uaminifu katika vituo vyenu ,mzingatie yote ambayo mmeelekezwa na wawezeshaji  katika kufanikisha zoezi hili ,”amesema Msomoka

Naye Afisa Mwandikishaji Msaidizi Ahmada Suleiman aliwaeleza kuwa ni muhimu kuzingatia muda wa kufungua  na kufunga vituo kwa wakati uliopangwa ili wananchi waweze kupata haki yako ya kujiandikisha

“Hatutarajii vituo vichelewe kufunguliwa  kwakuwa kunawanachi wanahitaji kupata huduma mapema ili waweze kuendelea na shughuli zao za maendeleo lakini  pia hatutakuvumilia wewe ambaye utafunga kituo kabla ya muda kwa kisingizio watu hakuna hilo halitavumilika kwakuwa muda uliopangwa uzingatiwe,”amesema Suleiman  

Zoezi hili la mafunzo kwa Bvr kit na waandikishaji wasaidizi wa vituo  limefanyika kwa umakini  ili kuhakikisha tahadhari za ugonjwa wa corona unazingatiwa


Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa