• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Afisa Mwandikishaji Jimbo awataka Bvr kit na Waandikishaji kuwa waadilifu

Posted on: May 1st, 2020

 

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Tandahimba Said Msomoka amewataka Bvr kit operator na waandikishaji wasaidizi kuifanya kazi hiyo kwa uadilifu na uamnifu ili kulinda vifaa vya serikali ambavyo vimenunuliwa kwa gharama kubwa.

Ameyasema hayo jana wakati akifungua  mafunzo ya awamu ya pili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura  ambayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba

Maafisa Tehama wakijiandaa kwa ajili ya mafunzo ya vitendo kwa Bvr kit operator

“Tumewaamini ndiyo maana tumewachagua tunaomba mkaifanye kazi hii kwa uadilifu na uaminifu katika vituo vyenu ,mzingatie yote ambayo mmeelekezwa na wawezeshaji  katika kufanikisha zoezi hili ,”amesema Msomoka

Naye Afisa Mwandikishaji Msaidizi Ahmada Suleiman aliwaeleza kuwa ni muhimu kuzingatia muda wa kufungua  na kufunga vituo kwa wakati uliopangwa ili wananchi waweze kupata haki yako ya kujiandikisha

Afisa Mwandikishaji Msaidizi Ahmada Suleiman akitoa maelekezo kwa washiriki wa mafunzo

“Hatutarajii vituo vichelewe kufunguliwa  kwakuwa kunawanachi wanahitaji kupata huduma mapema ili waweze kuendelea na shughuli zao za maendeleo lakini  pia hatutakuvumilia wewe ambaye utafunga kituo kabla ya muda kwa kisingizio watu hakuna hilo halitavumilika kwakuwa muda uliopangwa uzingatiwe,”amesema Suleiman  

Zoezi hili la mafunzo kwa Bvr kit na waandikishaji wasaidizi wa vituo  limefanyika kwa umakini  ili kuhakikisha tahadhari za ugonjwa wa corona unazingatiwa

Sekretarieti wakipimwa joto mwili na afisa  Afya Seleman Namaneha

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA,MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2021 July 14, 2021
  • TANGAZO LA UJIO WA MWENGE WILAYANI TANDAHIMBA 2021 June 04, 2021
  • Soma

Habari mpya

  • Watoto 40428 wachanjwa chanjo ya polio Tandahimba

    May 21, 2022
  • Mwenyekiti atoa agizo la ununuzi wa mashine 3 za kukamulia alizeti

    May 03, 2022
  • Dc Sawala aridhishwa na maendeleo ya operesheni ya anwani za makazi

    March 20, 2022
  • Washiriki 652 wapewa mafunzo ya kuingiza taarifa za anwani za makazi kwenye mfumo

    March 15, 2022
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa