• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Abiria watakaoingia Wilaya ya Tandahimba kupimwa Covid – 19 kituo cha mabasi

Posted on: March 24th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka


Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka amesema abiria watakaoingia kutoka Dar es salaam na maeneo mengine nje ya Halmashauri  watapimwa katika stendi kuu ya mabasi mara wanavyoingia

Ameyasema hayo jana kwenye majumuisho  ya ziara fupi ya wakuu wa idara  waliotembelea maeneo yaliyotengwa , zahanati ya Mtegu na kituo maalum nje ya hospital kwa ajili ya wagonjwa wa Corona Virus endapo watapatikana ndani ya Wilaya

“Kujikinga ni bora , nasi kama Halmashauri  tumeamua kuchukua hatua ya kupima abiria wanaoingia kutoka Mikoa mingine ikiwa ni hatua ya mojawapo ya kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huu kwa wananchi wa Tandahimba,”amesema Msomoka

Amesema mabasi yaendayo Dar es salaam kutoka hapa abiria watanawa mikono wanavyoingia ndani ya gari na yanayoingia pia watanawa na kupimwa joto la mwili mara baada ya kushuka ndani ya basi alilopanda

Aidha amewataka wananchi  kuendelea kuchukua  tahadhari  dhidi ya ugonjwa wa Covid – 19 kwa kunawa maji kila mara  ili kujikinga sambamba na kuepuka misongamano na kusalimiana kwa njia ya kupeana mikono


Naye Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Wilaya Silas Sembiko amesema vifaa vipo   tayari, maeneo  yametengwa  sambamba na wataalamu wa afya ambao ni maalum kwa ajili ya kushughulia wagonjwa watakaopatikana

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa