• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Shughuli Mbalimbali za Kiuchumi

Economic activities

1 Kilimo

Kama ilivyokwisha kuanishwa hapo juu, wilaya ina jumla ya eneo la mraba la kilomita 167,331. Kati ya hizi eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta 166,535. Hata hivyo hekta129,507 tu ambazo ziko chini ya shughuli za kilimo. Mazao yanayolimwa ni pamoja korosho, muhogo, mtama, mpunga, ufuta, nazi na mengineyo. Baadhi ya mafanikio ni pamoja na kuongeza uzalishaji wa mazao ya biashara kama vile uzalishajiwa korosho kutoka tani 15,282 mwaka 2005 hadi kufikia tani 47,682 mwaka 2011/2012, kuongeza uzalishaji wa karanga kutoka kutoka tani 1271 mwaka 2004/2005 hadi tani 3,129 mwaka 2011/2012. Wilaya pia imefanikiwa kuanzisha jumla ya vituo 3 vya kutolea elimu (resource centres) na kuimarisha udhibiti wa visumbufu vya mazao na mimea. Wilaya pia inatekeleza miradi mitatu (3) ya umwagiliaji katika maeneo ya ya Litehu, Lipalwe na Ng’apa. Miradi hii imeshaunda umoja wa umwagiliaji na kusajiliwa kisheria. Jumla ya wanachama katika miradi yote mitatu ni 201. Miradi inakamati za usimamizi na zina akaunti Benki.

                                                                                                                    Ubanguaji korosho katika Kiwanda cha Amama


2 Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

 Wilaya ina jumla ya ngombe 319 wa maziwa, mbuzi 289,975, kondoo 53,436 na wanyama wengineo. Lengo ni kuwa na miundombinu muhimu kwa ajili ya kuendeleza tasnia ya mifugo. Ili kutekeleza sheria ya nyama No. 10 ya mwaka 2006 ya kuhakikisha kuwa nyama inayoliwa ni salama. Halmashauri kupitia idara ya Mifugo na Uvuvi imejenga machinjio 2, malambo 3 kwa ajili ya kunyweshea maji mifugo yamejengwa na kujenga kliniki mojakwa ajili kutambua kimaabara magonjwa ya mifugo. Kwa upande wa uvuvi, idara imefanikiwa kutoa elimu juu ya ufugaji bora wa samaki kwa wafugaji binafsi nakushauri wafugaji kuchimba mabwa wa kwa ajili ya kufuga samaki. Baadhi ya changamoto zinazoikabili wilaya katika mifugo ni pamoja na upungufu wa maafisa ugani ambao idadi yao haitoshi kusimamia shughuli za kilimo na mifugo na uvuvi katika wilaya, ufinyu wa bajeti ili kununua chanjo na mafuta ili kuwafikia wafugaji wengi zaidi pamoja na bei kubwa ya chanjo. Kwa hiyo Wilaya inakusudia kuimarisha huduma za ugani kwa wafugaji. Hii ni pamoja na kuongezeka kwa uzito wa ng’ombe kutoka kilo 250 hadi 350, kuongeza uzalishaji wa maziwa kwa ng’ombe kwa mwaka kutoka lita 400 hadi 2000, na kuongezeka kwa mbuzi walioboreshwa kutoka 217 – 3800 ifikapo 2018ifikapo mwaka 2018. Wilaya pia inalenga kuongeza idadi ya vijiji vilivyotenga maeneo ya malisho na kuanzishwa kwa vikundi vya wafugaji vitano (5) vinavyotumia nishati ya gesi (Bio-gas) ya kupikia ifikapo 2018

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa