• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Miradi ya 2017/18

HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIMBA

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA KWANZA (JULAI - SEPTEMBA) 2017 

Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imeidhinishiwa kupokea na kutumia jumla ya shilingi 7,770,772,000.00 Katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kuzingatia Ilani ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, Dira ya Maendeleo Ya Taifa ya mwaka 2025 (Vision 2025), Sera mbalimbali za Kisekta pamoja na Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs). Hii ni kutokana na Dira na Dhima ya Halmashauri kwamba “ Ifikapo 2018 Halmashauri Ya Wilaya Ya Tandahimba, Kwa Kutumia Rasilimali Zilizopo, Utalaamu Na Ushirikishwaji  Wa Jamii, Iwe Imetoa  Huduma Bora  Na Kujenga  Uchumi Endelevu Utakaowezesha  Maisha Bora  Ya Wananchi’’ 

Fedha hizo zilitarajiwa kuchangiwa na wadau mbalimbali ikiwemo Mapato ya ndani ya Halmashauri (OwnSource), Ruzuku ya Maendeleo toka Serikali Kuu (LGCDG), Ruzuku ya Kujenga Uwezo (CBG), Mfuko wa Barabara (Road Fund), Mfuko Kamambe wa Afya (Health Sector Basket Fund), Mfuko wa Maji (RWSSP), United Nations International Children's Emergency Fund (UNICEF), Mfuko wa Jimbo, pamoja na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)

Mchanganuo wa fedha hizo kwa wachangiaji walioainishwa hapo juu kwa mwaka 2017/2018 ni kama unavyoonekana kwenye jedwali:-

NA

CHANZO/MCHANGIAJI

MAKISIO

FEDHA TOLEWA

FEDHA TUMIKA

FEDHA ZISIZOPOKELEWA

% YA FEDHA TOLEWA

1

OWNSOURCE
3,925,627,000.00
152,977,720.0
152,977,720.0
3,772,649,280.0
3.90

2

LGCDG
1,329,173,000.00


1,329,173,000.0
-  

3

MFUKO WA MAJI
2,375,725,000.00


2,375,725,000.0
-  

4

MFUKO WA JIMBO
51,909,000.00
25,954,500.0

25,954,500.0
50.00

5

UNICEF
88,338,000.00
101,711,150.0
75,537,000.0
(13,373,150.0)
2.59

6

TASAF

1,100,120,080.0
1,098,563,080.0



JUMLA
7,770,772,000.00 
1,380,763,450.0 
1,327,077,800.0 
7,490,128,630.0 
35.17 


Hadi kufikia tarehe 30/09/2017 tulipomaliza robo ya kwanza, Halmashauri ilikuwa imepokea jumla ya Shilingi 1,380,763,450.0 na kutumia jumla ya Shilingi 1,327,077,800.0 katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na asilimia 35.17 ya fedha yote iliyoidhinishwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika mwaka wa fedha 2017/2018.

Aidha kupitia Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF katika robo ya kwanza halmashauri ilipokea jumla ya Shilingi 216,910,880.00 kwa ajili ya ruzuku ya walengwa wa kaya maskini na kutumia jumla Shilingi 186,816,000.00 kwa ajili ya malipo kwa kaya maskini. Hata hivyo Shilingi 212,000.00 zimerejeshwa TASAF Makao Makuu kutokana na baadhi ya walengwa kukosa sifa za kulipwa fedha hizo ikiwa ni pamoja na vifo au kuhama makazi. Pia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia TASAF jumla ya shilingi 883,209,200.00 zimepokelewa na kiasi cha shilingi 881,863,600.00 kimetumika katika utekelezaji wa miradi na ujira kwa walengwa wanaoshiriki utekelezaji wa miradi

Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri imepokea jumla ya shilingi 101,711,150.0 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa UNICEF kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa usajili na utoaji wa yeti vya kuzaliwa kwa watoto kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano (5) bila malipo.

Mchanganuo wa miradi hiyo na utekelezaji wake kifedha na kimaumbile umeonyeshwa kwenye majedwali yaliyombatanishwa kuanzia ukurasa wa 1 hadi 12 kwa miradi ya mwaka 2017/2018 na miradi viporo ya mwaka 2017/2018 iko katika ukurasa wa 13

Abdillah L Mfinanga

Kny: Mkurugenzi Mtendaji (W)

TANDAHIMBA

Mchanganuo wa miradi ni kama unavyoonekana kwenye kiambatisho hapo chini

MIRADI ILIYOPITA MWAKA 2017.18.xlsx



Matangazo

  • Ratiba ya Usafi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi. January 03, 2018
  • Siku ya mazoezi kila jumamosi ya pili ya mwezi January 03, 2018
  • TANGAZO LA UJIO WA MWENGE WA UHURU 2018 WILAYANI TANDAHIMBA June 09, 2018
  • Soma

Habari mpya

  • Kamati ya Fedha yaridhishwa na miradi ya maendeleo Halmashauri ya Tandahimba

    January 23, 2021
  • Kampeni ya ondoa mapori ongeza uzalishaji yashika kasi Tandahimba

    January 23, 2021
  • TEA yakabidhi miradi kwa Halmashauri ya Tandahimba

    January 19, 2021
  • Halmashauri ya Tandahimba yatumia shilingi Milioni 145 kutengeneza samani za kidato cha kwanza

    January 07, 2021
  • Soma

Video

Byakanwa Afunga mwaka kwa mikakati ya mabadiliko
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimba.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa