• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TASAF: Zaidi ya shilingi milioni mia mbili kunufaisha kaya masikini Tandahimba

Posted on: February 7th, 2020

Pichani: Wanufaika wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kijiji cha Matogoro kata ya Tandahimba wakisubiri malipo huku wengine wakiwa wamelala.

Na Kitengo cha Habari na Masiliano

“Zaidi ya shilingi milioni mia mbili na kumi na moja (Tsh. 211,948,000/=) zategemewa kulipwa kwa walengwa  elfu sita mia nane sabini na tisa wa kaya maskini wilayani Tandahimba” Ndugu Ismail Mbilinyi, Mratibu wa TASAF wilaya ya Tandahimba alisema.

Ndugu Ismail Mbilinyi, alisema Walengwa hao wa kaya masikini ni kutoka vijiji themanini na nane (88) wilayani Tandahimba walianza kupokea fedha za ruzuku kwa kaya masikini tangu jana tarehe 05/02/2020 na zoezi hilo linategemewa kukamilika ndani ya siku nne.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti, baadhi ya wanufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na TASAF wilayani Tandahimba, wameishukuru serikali kwa kuwaletea fedha kwa wakati, “Tunaishukuru serikali ya Awamu ya Tano kwa kutujali na kutuletea fedha kwa wakati”, baadhi ya walengwa walisikika kwa furaha.

Licha ya furaha walizonazo walengwa hao, wanasikitishwa na taarifa zilizosambaa kuwa kuwa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na TASAF unaelekea mwisho hali itakayopelekea ugumu wa maisha, hivyo kama ni taarifa hiyo ni sahihi wameiomba serikali kuendelea na mpango huo.

Akizungumza na Wanufaika wa Mpango wa kunusuru kaya masikini katika kata ya Tandahimba kijiji cha Matogoro, Nyamwaliki Musilikale,ambaye ni Msimamizi katika kata hiyo,amewataka wanufaika kuendeleza vikundi vyao ili kuhakikisha havifi kwani vinawasaidia katika kuleta maendeleo yao.


Bi Musilikale (Msimamizi) akiongea na walengwa juu ya utunzaji na matumizi sahihi ya fedha hizo kwa maendeleo yao

Lakini pia,Musilikale amewataka walengwa hao kuwa na vitambulisho vya Taifa ili kuepuka uwezekano wa kuwasajili raia ambao sio watanzania.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa