• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watumishi na Wananchi Tandahimba washiriki Michezo kuadhimisha Miaka 61 ya Uhuru

Posted on: December 8th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru watumishi na wananchi wameshiriki michezo mbalimbali sambamba na usomaji wa Insha kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi na Sekondari

Michezo hiyo imefanyika Disemba 8,2022 katika Kiwanja cha Mpira shule ya Msingi Amani iliyopo Kta ya Tandahimba ambapo  michezo mbalimbali ilikuwepo

Akizungumza katika eneo hilo Katibu Tawala Ndg.Juvenile Mwambi amesema kuwa michezo ni afya  hivyo kuelekea miaka 61 ya Uhuru  muhimu kuimarisha afya ili kuendelea kuleta maendeleo

“Michezo ni afya  hivyo kuelekea katika maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru tumekuja kuadhimisha kwa kufanya michezo mbalimbali ili kuimarisha afya zetu lakini pia kusikiliza wanafunzi insha ambazo zinazungumzia miaka 61 ya Uhuru wetu,”amesema Das

Katika upande wa Insha wananfunzi sita wa shule ya msingi watatu na Sekondari watatu waliibuka washindi  baada ya kuwasilisha insha zao na kusikilizwa na kamati maalum ambapo wanafunzi hao watakabidhiwa zawadi zao katika  Kongamano la maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru yaytakayofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri Disemba 9,2022

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa