• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TANECU YAKABIDHI MIFUKO 700 YA SIMENTI NA BATI 100 UBORESHAJI MIUNDOMBINU YA AFYA NA ELIMU TANDAHIMBA.

Posted on: January 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala Januari 23, 2024 amepokea na Kukabidhi Mifuko 600 Kituo Cha Afya Mnyawa, Mifuko 100 Zahanati ya Mchichira pamoja na Mabati 100 Shule ya Msingi Mundamkulu iliyotolewa na Chama Kikuu Cha Ushirika Tandahimba na Newala(TANECU) ili kuunga mkono juhudi za Serikali kuwaletea Wananchi Maendeleo.


Akizungumza na Wananchi wa Kata ya Mchichira na Mnyawa kwa nyakati tofauti DC Sawala amewapongeza TANECU kwa moyo wa uzalendo na kuunga Mkono Serikali katika kuboresha huduma za Afya na Elimu Wilayani humo na kuwaasa wasimamizi wa Miradi kufanya kazi iliyokusudiwa.

"Kamati za Ujenzi simamieni, sitapenda kuona simenti inatumika nje ya kile kilichokusudiwa" DC Sawala


Kwa Upande wake Mwenyekiti wa TANECU Karim Chipola amesema waliona ni vyema kile walichokipata kwenye msimu wa Korosho warudishe shukrani kwa Wananchi na kuahidi kuwa wataendelea kutoa zaidi Wananchi wapate huduma.


Aidha, Diwani wa Kata ya Mchichira Mhe.Jamari Mtonya ameishukuru TANECU kwa kuunga juhudi za Serikali kuboresha huduma na kuahidi kushirikiana nao katika kuleta Maendeleo kwa Wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa