• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

RAS afanya ziara ya kukagua miradi ya vyumba vya madarasa Tandahimba

Posted on: November 20th, 2021


Na Kitengo Cha Habari na Mawasiliano

Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara ndugu Abdallah Malela amewataka wasimamizi wa miradi ya vyumba vya  madarasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kuhakikisha mafundi wanaongeza  kasi katika utekelezaji wa miradi hiyo  ili ikamilike kwa wakati

Ras(aliyevaa kofia)akikagua  ujenzi wa vyumba sita vya madarasa sekondari ya Dinduma

Ameyasema hayo Novemba 19,2021 kwenye ziara ya kukagua miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa akiwa pamoja na timu ya ufuatiliaji Wilaya  ikiongozwa na Katibu Tawala Wilaya ndugu Juvenile Mwambi

Ras akitoa maelekezo kwa kamati katika shule ya sekondari ya Naputa

“Wasimamizi ambao mpo katika maeneo ya miradi hakikisheni mafundi wanaanza kazi mapema ili miradi hii ikamilike kwa wakati,lakini mkiwaacha mafundi waamue wenyewe watakwamisha kukamilika  kwa wakati,sisi tuna haraka  na miradi hii,”amesema Ras

Naye Katibu Tawala Wilaya ya Tandahimba ndugu Juvenile Mwambi  amesema kuwa timu za ufuatiliaji  ngazi ya Wilaya zinapita katika miradi hiyo kuhakikisha inakwenda kwa kasi ili iweze kukamilika kwa wakati uliopangwa

Aidha nao mafundi viongozi katika miradi ambayo amepita kukagua  Katibu Tawala Mkoa wamemuhakikishia kuwa  wataimaliza miradi hiyo kwa wakati ili malengo ya Serikali yaweze kutimia


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa