• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MADIWANI WA KISARAWE WAFANYA ZIARA YA KUJIFUNZA WILAYANI TANDAHIMBA

Posted on: December 14th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano.


Madiwani na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakiwa wameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe.Fatma Nyangasa wamefanya ziara ya kujifunza Uzalishaji wa kilimo bora cha Korosho Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

Baada ya kuwasili katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba  Disemba 14,2023 Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala aliwasomea taarifa fupi ya Wilaya  kisha wataalamu waliwasilisha  mada muhimu za uzalishaji wa Korosho.

Wakiwa Tandahimba wametembelea kitalu cha miche ya korosho Kata ya Tandahimba,Shamba la Mikorosho Kitama,kujifunza mfumo wa stakabadhi ghalani Chama cha msingi Namunda na Kiwanda cha Ubanguaji Korosho TDC.

Aidha akizungumza kwa niaba ya Timu ya Wilaya ya Kisarawe Dc Nyangasa amepongeza juhudi zinazofanywa na Serikali katika zao la Korosho ambapo pia aliwapongeza wataalam wa Halmashauri ya Tandahimba wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti kwa kufanikisha ziara yao.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe. Rehema Liute  amewapongeza kwa kuchagua Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kuja kujifunza ambapo amesema kuwa ziara yao ikalete matokeo chanya kwenye Halmashauri yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa