• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MAAFISA UGANI KILIMO WATAKIWA KUWA NA BIDII KUFIKIA MALENGO YA UZALISHAJI WA KOROSHO TANI 700,000 MSIMU WA MWAKA 2025/2026

Posted on: January 17th, 2025


JANUARI 17,2025


Maafisa ugani Kilimo walioajiriwa na Bodi ya Korosho Tanzania wametakiwa kuwa na bidii na Uadilifu katika utekelezaji wa majukumu yao ili kufikia malengo ya Serikali ya uzalishaji wa Korosho Tani 700,000 msimu wa mwaka 2025/2026 .


Akifunga mafunzo ya siku tano yaliyoendeshwa na Bodi ya Korosho Tanzania kwa Maafisa ugani hao  leo Januari 17,2025  kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Ndg.Francis Mkuti amesema kuwa.mafunzo hayo  yamewapa.mwanga  zaidi ya kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi  kwenye maeneo  waliyopangiwa. 


Aidha amewasistiza kutunza na kutumia kwa usahihi vitendea kazi watakavyokabidhiwa  sambamba na kuimarisha ushirikiano na viongozi  watakaowakuta kwenye maeneo waliyopangiwa ili kufanya kazi kwa weledi na uadilifu.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) Ndg.Francis Alfred amewasistiza kuzingatia maadili,ushirikiano na nidhamu katika utekelezaji wa shughuli zao ." Tunaimani mafunzo haya yatakuwa chachu ya kutekeleza majukumu yenu ipasavyo zingatieni maadili,ushirikiano na nidhamu ili kufikia malengo, sisi tupo nanyinyi kutoa ushirikiano lengo tufikie kiwango cha uzalishaji wa zao la Korosho,"


Maafisa ugani  hao wameshuru na kuipongeza Bodi ya Korosho Tanzania kwa kuandaa mafunzo hayo ambapo wameahidi kujituma na kushirikiana na wlae waliopo ili kufikia malengo.


#Tandahimba tumejipanga kazi zinaende

lea

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa