• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mawasiliano

UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ni moja kati ya Halmashauri tisa za Mkoa wa Mtwara. Ina eneo la 167,331Ha. Kwa upande wa Magharibi imepakana na Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Mashariki imepakana na Wilaya ya Mtwara Vijijini na upande wa kaskazini imepakana na mto Ruvuma mpaka rasmi wa Tanzania na Nchi ya Msumbiji. MUUNDO WA UTAWALA

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imegawanyika katika Tarafa tatu za Litehu, Mahuta na Namikupa. Pia Wilaya ina kata 31, Vijiji 143, Mitaa 14 na Vitongoji 654 na Jimbo moja la uchaguzi. Kuanzia tarehe 1/07/2015 Halmashauri ya Tandahimba imepata Mamlaka mbili za Miji Midogo ya Mahuta na Tandahimba

IDADI YA WATU

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 yenye ongezeko la watu wastani wa 1.2 kwa mwaka,katika mwaka 2016 Wilaya inakadiliwa kuwa na watu 238,632 ikiwa wanawake ni 128,053 na wanaume 110,579. Kulingana na ongezeko hilo la 1.2 kwa mwaka 2016 Wilaya inakadiliwa kuwa na wastani wa kaya 64,495 zenye wastani wa watu 3.7 kwa kaya

SHUGHULI ZAKIUCHUMI.

Kilimo Shughuli kuu za kiuchumi zinazofanywa na wakazi wa Tandahimba Wilaya ni kilimo cha mazao na ufugaji. Korosho ikiwa ni zao kuu la biashara ikifuatiwa na mazao ya ufuta, muhogo,mbaazi, njugu na karanga. Mazao ya chakula ni pamoja na muhogo (chakula kikuu), Mtama, mahindi, mpunga na kunde.

Mifugo Kwa upande wa mifugo kuna ufugaji wa kuku, mbuzi, bata,kondoo, samaki n.k

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA MADEREVA TANDANDAHIMBA September 12, 2025
  • MATOKEO USAILI WA VITENDO KWA WAANDISHI WAENDESHA OFISI September 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa