• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

ZAIDI YA MIL.279 ZATUMIKA MALIPO YA WALENGWA WA TASAF TANDAHIMBA

Posted on: April 1st, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kiasi cha zaidi ya milioni 279 zimetumika kwenye zoezi la malipo ya mwezi Novemba na Disemba kwa walengwa wa kaya maskini 6220 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kati ya  walengwa 6242

Mratibu wa TASAF Tandahimba Ismaely Mbilinyi

Akitoa tathmini hiyo Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi amesema kuwa zoezi hilo la siku tano limewafikia  walengwa kwenye vijiji 88

 “Zoezi limekamilika kiasi cha shilingi 279,452,000 zimetumika kukamilisha zoezi hili kwa walengwa wa Halmashauri yetu kwa vijiji 88,”amesema Mratibu

Afisa Ufuatiliaji wa TASAF Tandahimba Faida Mabele  akizungumza na wanufaika wa kaya maskini wakati wakisubiri malipo

Aidha katika  zoezi hilo kaya 22 hazikushiriki katika zoezi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kifo,baadhi yao kufuzu na wengine kutokuwepo katika maeneo yao wakati wa zoezi la malipo hivyo kiasi cha shilingi milioni sita hazikuweza kulipwa kwa walengwa hao

Mratibu amesema moja ya changamoto ambazo zimejitokeza katika zoezi la malipo kwa mwezi Novemba na Disemba ni pamoja na baadhi ya majina kutokuwepo kwenye orodha,kuchelewa kwa malipo  na ukosefu wa vitambulisho vipya   kwa baadhi ya walengwa

Wanufaika wa kaya maskini wakisubiri malipo 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa