• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

WAZAZI WASIOWAPELEKA WATOTO SHULE HATUA KALI ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA DHIDI YAO

Posted on: September 8th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano 


Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe. Kanali Patrick Sawala ameagiza hatua za kisheria zichukuliwe kwa wazazi watakao kaidi agizo la kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda Shule  na waliokatiza masomo kwa Utoro wanahudhuria Shuleni mara itakapofunguliwa ili kupata Elimu ambayo ni haki yao ya Msingi

DC Sawala ameyasema hayo leo Septemba 8,2023 kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Mihambwe  ambapo  amesikiliza kero mbalimbali za wananchi na kuzipatia ufumbuzi sambamba na kutoa maelekezo ya Serikali

"Serikali imeendelea kuboresha Miundombinu ya Elimu kwa kujenga Madarasa ya kutosha ili Wanafunzi wasome katika Mazingira bora,hivyo wazazi hakikisheni wanafunzi waliokatisha masomo kwa utoro wanakwenda shule, ni haki ya Msingi kwa watoto kupelekwa Shule na kuhakikisha wanahitimu masomo ili kufikia malengo yao," amesema DC Sawala

Miongoni mwa kero zilizoanishwa ni pamoja na Wananchi kutaka kujua bei elekezi ya Korosho Msimu huu 2023/2024 suala ambalo amelitolea ufafanuzi kuwa bei itatangazwa rasmi muda ukifika huku akisisitiza wananchi kupeleka na kuuza Korosho kwa Mfumo wa Stakabadhi ghalani Msimu wa mauzo utakapofika

Aidha katika suala la Pembejeo Wananchi wa Kata ya Mihambwe wameishukuru Serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Pembejeo  za ruzuku kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji wa zao la Korosho


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa