• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TIMU YA TANDAHIMBA HQ YAICHAPA MCHICHIRA COMBINE BAO 1-0

Posted on: April 25th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Timu ya mpira wa Mguu  ya Tandahimba HQ imeiibuka mshindi dhidi ya timu ya Mchichira Combine kwa kuichapa bao 1-0 katika mechi  iliyofanyika Aprili 25,3023 katika uwanja wa Mpira wa Mchichira

Timu ya Tandahimba HQ ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe. Baisa Baisa waliibuka kidedea na kushinda zawadi ya Mbuzi katika mechi hiyo

Mechi hizi zimefanyika kuamsha ari kwa wananchi katika kusherekea maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo Kimkoa yatafanyika katika kijiji cha Mchichira Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MFUKO WA ELIMU October 31, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Soma

Habari mpya

  • "WASHIRIKISHENI WAZAZI NA WALEZI KIPINDI HIKI CHA MAVUNO WACHANGIE CHAKULA CHA WANAFUNZI SHULENI "DC SAWALA

    June 15, 2023
  • VIKUNDI VYA UBANGUAJI WADOGO WANUFAIKA NA KOROSHO MARATHONI

    May 14, 2023
  • RC MTWARA AZINDUA MSIMU WA PILI WA MBIO ZA KOROSHO MARATHONI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIMBA

    May 13, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIMBA YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI

    May 12, 2023
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa