• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TEA yakabidhi miradi kwa Halmashauri ya Tandahimba

Posted on: January 19th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mamlaka ya Elimu Tanzania  (TEA) imekabidhi miradi yenye thamani ya shilingi milioni 100 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Akikabidhi miradi hiyo ambayo ni madarasa matatu na matundu ya vyoo kwa baadhi ya shule za msingi Kaimu Mkurugenzi wa Tea John Masatu amesema kuwa miradi hiyo imekamilika na ipo tayari kuendelea kutumika na wanafunzi

Miradi wa  madarsa matatu shule ya msingi Litemla

Akipokea miradi hiyo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji  ,Afisa Elimu Msingi Hadija Mwinuka amesema kuwa wanaishukuru Tea kwa miradi hiyo ambayo imeleta tija kwa wanafunzi wa maeneo ambayo miradi hiyo imetekelezwa

Aidha amesema shule ambazo miradi hiyo imetekelezwa ni vyumba vitatu vya madarasa shule ya Msingi Litemla na matundu ya vyoo 24,shule ya Msingi Mitumbati matundu 24 ya vyoo,Shule ya Msingi Mnaida matundu 24 ya vyoo na Shule ya Msingi Namindondi  matundu ya vyoo 24

 Mradi wa matundu ya vyoo 24

“Tunashukuru kwa miradi hii ambayo imetekelezwa ndani ya Halmashauri yetu italeta mafanikio kwa wanafunzi wetu  hususani katika maeneo ambayo matundu ya vyoo ilikuwa ni machache sasa imeleta nafuu,”amesema Mwinuka

vyumba hivyo  vimekamilika  na samani zake

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa