• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TASAF Tandahimba yakamilisha Uhaulishaji wa fedha kaya maskini

Posted on: September 30th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Zaidi ya shilingi Milioni 348 zimetumika katika zoezi  la  Uhaulishaji wa fedha kwa kaya maskini 5765 ambao walifanikiwa kuhakikiwa mwezi Julai Halamshauri ya Tandahimba 

Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ismaely Mbilinyi amesema kuwa zoezi limekamilika  na kaya ambazo zimepata malipo hayo ni zile ambazo zilihakikiwa mwezi Julai mwaka huu

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa malipo

“Tumemaliza zoezi la uhaulishaji wa fedha kwa kaya zote ambazo ziliingizwa kwenye mpango baada ya uhakiki mwezi Juni, na malipo ambayo yamefanyika ni mwezi Julai hadi Agosti na Septemba hadi Oktoba,zoezi limemalizika vizuri,”amesema Mbilinyi

Aidha amezitaka kaya ambazo zimepokea malipo hayo kuzitumia ipasavyo  sambamba na kuwanunulia wanafunzi mahitaji muhimu ya shule,kilimo na ufugaji ili waweze kuendelea kukuza kipato

Msimamizi wa kituo cha Mahakamani  kata ya Chikongola akiwa kufanya malipo

Naye  Maimuna Lyoka mkazi wa Mchichira ameishukuru serikali na kuahidi kuzitumia kwa malengo pamoja na kufanya shughuli za ufugaji  na kilimo ili kukuza kipato

Mpango wa Uhaulishaji wa Fedha kwa kaya maskini unaotolewa na TASAF umewezesha wanufaika wa Wilaya ya Tandahimba kuweza kuendelea kuwasomesha watoto wao kwa kuwanunulia mahitaji muhimu na  wengine wakitoka hatua moja kwenda nyingine kwa kufanya shughuli mbalimbali za kukuza kipato 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA,MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2021 July 14, 2021
  • TANGAZO LA UJIO WA MWENGE WILAYANI TANDAHIMBA 2021 June 04, 2021
  • Soma

Habari mpya

  • Watoto 40428 wachanjwa chanjo ya polio Tandahimba

    May 21, 2022
  • Mwenyekiti atoa agizo la ununuzi wa mashine 3 za kukamulia alizeti

    May 03, 2022
  • Dc Sawala aridhishwa na maendeleo ya operesheni ya anwani za makazi

    March 20, 2022
  • Washiriki 652 wapewa mafunzo ya kuingiza taarifa za anwani za makazi kwenye mfumo

    March 15, 2022
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa