• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TASAF Tandahimba yakamilisha Uhaulishaji wa fedha kaya maskini

Posted on: September 30th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Zaidi ya shilingi Milioni 348 zimetumika katika zoezi  la  Uhaulishaji wa fedha kwa kaya maskini 5765 ambao walifanikiwa kuhakikiwa mwezi Julai Halamshauri ya Tandahimba 

Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ismaely Mbilinyi amesema kuwa zoezi limekamilika  na kaya ambazo zimepata malipo hayo ni zile ambazo zilihakikiwa mwezi Julai mwaka huu

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa malipo

“Tumemaliza zoezi la uhaulishaji wa fedha kwa kaya zote ambazo ziliingizwa kwenye mpango baada ya uhakiki mwezi Juni, na malipo ambayo yamefanyika ni mwezi Julai hadi Agosti na Septemba hadi Oktoba,zoezi limemalizika vizuri,”amesema Mbilinyi

Aidha amezitaka kaya ambazo zimepokea malipo hayo kuzitumia ipasavyo  sambamba na kuwanunulia wanafunzi mahitaji muhimu ya shule,kilimo na ufugaji ili waweze kuendelea kukuza kipato

Msimamizi wa kituo cha Mahakamani  kata ya Chikongola akiwa kufanya malipo

Naye  Maimuna Lyoka mkazi wa Mchichira ameishukuru serikali na kuahidi kuzitumia kwa malengo pamoja na kufanya shughuli za ufugaji  na kilimo ili kukuza kipato

Mpango wa Uhaulishaji wa Fedha kwa kaya maskini unaotolewa na TASAF umewezesha wanufaika wa Wilaya ya Tandahimba kuweza kuendelea kuwasomesha watoto wao kwa kuwanunulia mahitaji muhimu na  wengine wakitoka hatua moja kwenda nyingine kwa kufanya shughuli mbalimbali za kukuza kipato 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa