• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TANDAHIMBA:zaidi ya Milioni 200 zatumika kutengeneza viti na meza kwa shule za sekondari

Posted on: April 14th, 2020

Pichani: Baadhi ya viti vilivyotengenezwa na halmashauri vikiwa tayari kutumika

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Zaidi ya Shilingi Milioni 2010 zimetumika kutengenezea viti na meza  3000 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba baada yakuwa na changamoto ya upungufu  wa viti na meza kwa shule za sekondari na hivyo kusababisha wanafunzi kusoma katika mazingira magumu

Akisoma taarifa fupi kwa Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba katika ghafla ya kukabidhi viti hivyo kwa baadhi ya walimu wakuu Afisa Elimu Sekondari  Sostenes Luhende amesema viti hivyo vitagaiwa katika shule zote 28 za Halmashauri

“Fedha hii imetokana na mfuko wa elimu ambao unatiokana na mchango wa wananchi na wadau mbalimbali wa elimu,uwepo wa viti hivi umepunguza tatizop hili ambalo lilikuwa ni changamoto katika shule zetu za sekondari”amesema Luhende

Pichani Mkuu wa wilaya ya Tandahimba akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Tandahimba akikabidhi viti na meza kwa wakuu wa shule za sekondari

Mkuu wa Wilaya Sebastian Waryuba amewataka walimu wakuu kutunza viti hivyo kwa kutoa utaratibukwa wanafunzi waweze kuvitunza na pale utakapotokea uharibifu katika hilo aweze kuwajibika ili wengine waendelee kutumia

“Viti hivi ni agizo la mkuu wa Mkoa wa Mtwara  ambaye aliiagiza Halmashauri kutengebneza viti na meza baada ya kutembelea shule na kuona hali halisi katika shule za sekondari,hivyo agizo limetekelezwa sasa ninyi walimu ambao leo tunawakabidhi viti hivi mkasimamie utunzwaji wa hivi viti”,amesema Waryuba

Wakuu wa shule wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa viti na meza

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa