• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

UJENZI WA BARABARA YA TANDAHIMBA KUANZA MWISHONI MWA MWAKA HUU

Posted on: May 20th, 2020

 

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Afisa Sayansi ya Jamii Mkuu  Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Gibson Mwaya amesema ujenzi wa barabara  ambayo aliahidi Mheshimiwa Rais John Pombe  Magufuli kwa wananchi wa Tandahimba unatarajia kuanza mwishoni mwa mwaka huu 2020

Akizungumza na wakuu wa idara na vitengo katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba amesema kuwa pamoja na ujenzi huo kutarajia  kuanza watalipa fidia kwa vitu ambavyo vipo mita 45 kutoka katika barabara ambayo wanatarajia kuanza kuitengeneza


Afisa Sayansi ya Jamii Mkuu wa Tanroads Gibson Mwaya akieleza lini mradi huo utaanza

“Dhumuni la kuongea nanyi wataalaum wa Halmashauri ni kupata ushauri na maoni yenu ambayo yatasaidia katika ujenzi huu  mkubwa wa barabara ambayo Mheshimiwa aliahidi kwa wananchi na  utekelezaji wake unaanza mara tu taratibu mbalimbali zikimalizika hivyo mwishoni mwa mwaka huu tutaanza rasmi kazi ya ujenzi wa  barabara,”amesema Mwaya

Amesema barabara hiyo ikikamilika itawasaidia wakazi wa Tandahimba na Watanzania kwa ujumla  kuweza kutoka sehemu moja  kwenda nyingine kwa wakati  na kwa gharama nafuu hivyo barabara hii itaongeza maendeleo kwa wakazi wake

“Sisi kama Tanroads kabla ya kuanza ujenzi tunashirikisha wananchi na wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ili kupata maoni na ushauri hivyo pamoja na maendeleo tunayoleta pia tunaipa Halmashauri husika kuchagua kitu ambacho kingependa kifanywe ndani ya mradi huo ambao sisi tunaita ‘Complimentary Project’inategemea wanahitaji nini mfano kuchimbiwa kisima au kujengewa  ghala  na fedha ambayo imetengwa,”amesema Mwaya


Wakuu wa Idara na vitengo wakimsikiliza Afisa kutoka Tanroads kuhusu ujenzi wa barabara

Naye Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amemshukuru Mheshimiwa Rais John Magufuli kwa kutekeleza ahadi yake kwa wananchi wa Wilaya ya Tanadahimba ambao suala la barabara limekua tatizo la muda mrefu


Dc Waryuba (kushoto) akitoa salamu za shukrani kwa Rais  Magufuli (kulia) Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka

Barabara inayotarajiwa kujengwa ni kutoka Mnivata  hadi Masasi ikikamilika itakuwa imewasaidia wananchi wa maeneo husika na kuwaletea maendeleo mbalimbali .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa