• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Nmb tawi la Tandahimba yakabidhi madawati na bati kwa shule na zahanati

Posted on: August 10th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Benki ya NMB tawi la Tandahimba imekabidhi madawati 150  kwa shule tatu za msingi na mabati 170 kwa ajili ya Zahanati ya Mitumbati vifaa vyote vikiwa na gharama ya shilingi Milioni 20

Katibu Tawala Wilaya ya Tandahimba Juvenile Jaka Mwambi akizungumza jambo

Akipokea  vifaa hivyo Katibu Tawala  Wilaya ya Tandahimba Juvenile Jaka Mwambi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya amesema kuwa benki hiyo inawajali wananchi wake kwa kurudisha faida wanayoipata kwa jamii

Meneja wa benki ya Nmb tawi la Tandahimba akizungumza na wananchi wa kijiji cha mitumbati kabla ya makabidhiano ya  mabati 

“Tunaishukuru  NMB kwa madawati na mabati ni matumaini  yangu haya madawati yatatunzwa  ili wananfunzi waendelee kuyatumia na kuongeza ufaulu kwa watoto wetu,”

Das(wa pili kulia) akiwa na Kaimu Mkurugenzi,Afisa Elimu na Meneja wa Kanda ya kusini na Meneja wa Tawi la Tandahimba kwenye ghafla hiyo

Naye Meneja wa Benki ya NMB kanda ya Kusini Janeth Shango amesema kuwa  ni utaratibu wa benki hiyo kushiriki katika maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu na afya

Meneja wa Nmb Kanda ya Kusini Janeth Shango akiwasalimia wananfunzi na wazazi waliohudhuria katika makabidhiano hayo

“Tupo karibu na wananchi hata yakitokea majanga sisi tunakuwa karibu kushirikiana na Halmashauri yetu,kwaiyo ni utaratibu wetu kurudisha  faida tunayipata kwa wananchi we,”amesema Shango

Hata hivyo naye Afisa Elimu Msingi amesema kuwa anaishukuru Benki hiyo kwa msaada wa madawati  kwakuwa yataongeza ufanisi wa kusoma kwa  wanafunzi  katika shule zetu

“Hii ni benki ambayo tunashirikiana nayo  sana katika sekta ya elimu,kwa msaada huu wa madawati hata mahudhurio yataongezeka,watoto watakuwa mwandiko mzuri kwakuwa mwanafunzi akikaa chini hata mwandiko wake  unakuwa mbaya,”amesema Mwinuka

Zahanati ya Mitumbati  ambayo benki ya Nmb imekabidhi  bati 170 kwa ajili ya kuongeza nguvu

Naye  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Hassan Nzyungu amewashukuru NMB na kuwaomba kuendelea kushirikiana na Halmashauri katika sekta mbalimbali ili kuleta maendeleo kwa wananchi wa Tandahimba

Das Juvenile Jaka Mwambi akimkabidhi  mabati 170 Kaimu Mkurugenzi Hassan Nzyungu ambayo yametolewa na Nmb

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa