• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE.SILINDE AZINDUA MFUMO WA UPIMAJI WA MAZAO KUPITIA MIZANI YA KIDIGITALI.

Posted on: December 5th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano. 


Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.David Silinde amezindua mfumo wa upimaji wa mazao ya wakulima kupitia mizani ya kidigitali iliyounganishwa na mfumo wa usimamizi wa vyama vya ushirika ( MUVU).

Uzinduzi huo umefanyika leo Disemba 5,2023 kwenye  eneo la maghala ya Chama Kikuu cha Ushirika Tanecu ambapo Mhe. Silinde ameagiza vyama vyote vya ushirika kutumia mizani ya kidigitali sambamba na kuhakikisha mtandao huo unapatikana vijijini kwa uhakika kwenye amcoss ili wakulima wapate huduma kwa ufanisi.

"Nimezindua rasmi mfumo huu na zoezi la usambazaji wa mizani ya kidigitali ambapo itakwenda kupunguza malalamiko ya wakulima ya  kupunjwa kwa kilo za  mazao yao wanapopeleka sokoni na mfumo huu utaongeza ufanisi na utendaji kwenye vyama vya ushirika," amesema Mhe.Silinde.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Kanali Patrick Sawala amesema mfumo huu utamsaidia mkulima kila atakapopima kupata ujumbe kwenye simu yake ambao utasaidia kupunguza malalamiko na ametoa wito kwa wataalamu kutoa elimu zaidi

Aidha kwa upande wake  Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mhe.Katani Katani ameiomba Serikali kuchukua hatua za Kisheria kwa wanunuzi wanaotaka kuhujumu Korosho ya Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa