• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mvua yasababisha maafa Tandahimba

Posted on: December 21st, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imetoa unga kilo 1000 na maharage kilo 500 kwa familia zilizopata maafa ya mvua iliyoambatana na upepo mkali  na kusababisha mtu mmoja kufariki dunia  kwa kupigwa na radi na zaidi ya familia 48 zimekosa makazi

Tukio hilo limetokea kata ya Kwanyama Wilayani Tandahimba ambapo mvua hiyo iliyoambatana na upepo kunyesha na kusababisha  maafa kwa  wananchi wa kijiji cha Mitumbati ,kwanyama na huruma ambapo mikorosho imekatika ,vyakula vimeloa na mvua na nyumba kuezuliwa na zingine kubomoka

Dc Sawala akiwa pamoja na viongozi wa Wilaya  wakiangalia jinsi mvua hiyo ilivyoleta maafa

Mkuu wa Wilaya  ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala alitembelea kuona na kutoa pole kwa waathirika wa maafa hayo katika kata hiyo na kuwasistiza  kuhakikisha wanafunga koha  paa ziwe imara ili endapo upepo unarudi usiweze kuleta maafa tena

Aidha Dc Sawala akikabidhi  vifaa hivyo amesema kuwa ulinzi utaimarishwa ili kuendelea kulinda mali za wananchi ambao wamekosa makazi hadi pale hali  itakapokuwa sawa

Afisa Tarafa Mchichira bi Dotto Nyirenda  akishirikiana na wananchi kuhifadhi chakula hicho kwa ajili ya kugawa kwa wananchi

“Nachukua nafasi hii kutoa pole kwa wafiwa lakini pia natoa pole kwa wale wote ambao wamepata maafa haya lakini kitu muhimu tukiwa tunaanza kuezeka basi tuhakikishe koha zinafungwawa ili kuepuka mili kuepukaka maafa

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya  Tandahimba Mhe.Baisa Baisa  ametoa pole kwa wananchi wa kata ya Kawanayama na kuwakikishia kuwa Halmashauri ipo pamoja nao kuhakikisha wanapata chakula na michakato mingine inaendelea

Diwani wa Kata ya Kwanyama Mhe Hamza Balakali ameishukuru Serikali ya Wilaya kwa kufika na kuwafariji wananchi waliopata maafa hayo sambamba na kuwapa msaada wa chakula



Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa