• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MADIWANI TANDAHIMBA KAZINI KUHAMASISHA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI

Posted on: January 12th, 2024

Na Kitengo cha Mawasiliano.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe Baisa Baisa na Waheshimiwa Madiwani wa Kata zote 32 za Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba pamoja na wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri wamefanya ziara kata kwa kata wakihamasisha wazazi kuwapeleka watoto Shuleni pamoja na Kuhamasisha Wananchi kulima Mazao Mbadala ili waweze kujikwamua kiuchumi kuliko kutegemea zao Moja la Korosho.

Katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Tandahimba Diwani wa Kata ya Litehu Mhe. Seif Ahmad Nakuchima amewasisitiza wazazi kuhakikisha watoto waliofikia Umri wa kwenda Shule wapelekwe Shuleni wapate haki yao ya kupata Elimu.

Aidha, Afisa Elimu Kata ya Tandahimba Mohamed Mtesa amesema ni haki ya kila Mtoto kupata Elimu na Serikali ya Awamu ya Sita imeshajenga Miundombinu tayari kwa ajili ya Wanafunzi.

Kwa Upande wake Afisa Kilimo Haroun Kisimba amewasisitiza Wananchi kulima Mazao Mbadala na kuacha kutegemea zao la Korosho peke yake na badala yake walime Mbaazi na Ufuta kwa kuwa ni mazao yenye soko la uhakika na tayari yanauzwa kwa Mfumo wa Stakabdhi ghalani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa