• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MADIWANI SIMAMIENI MIRADI YA MAENDELEO KWENYE KATA ZENU" MHE.BAISA.

Posted on: January 11th, 2025

Na Kitengo cha Mawasiliano 


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amewasistiza .madiwani kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa ilkwenye maeneo yao ili iweze kukamilika na kutumika kwa wakati.

Amesema hayo.mara baada ya madiwani kuwasilisha Taarifa za maendeleo ya Kata zao  leo Januari 11,2024  kwenye Mkutano wa Baraza la madiwani robo ya pili 2024/25 uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

" Miradi inapokuja kwenye Kata yako jukumu la Diwani ni kuhakikisha anausimamia mradi huo ukamilike ili wananchi wa eneo lako wafaidike  nao," amesema Mwenyekiti Mhe.Baisa.


Aidha katika  mkutano huo  madiwani wamemshukuru  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia bei ya korosho ambayo imeuzwa  kwa bei ya juu lakini pia wamekiomba Chama kikuu cha Ushirika TANECU kushirikiana na ofisi ya Ushirika kushughulikia changamoto ya.malipo kwa baadhi ya wakulima.


Kwa upande wake  mwakilishi wa Mkuu  wa Wilaya  Ndg.Francis Mkuti akitoa salamu za Mkuu wa Wilaya kwa madiwani amesema madiwani wahimize wazazi na walezi kuwapeleka watoto shule zinapofunguliwa Januari 13,2025  kuanza masomo na kuhakikisha chakula kinapatikana shuleni, kutumia mvua zinazonyesha kulima  mazao ya chakula,ukusanyaji wa mapato,utunzaji wa mazingira pamoja na kuendelea kuimarisha ulinzi na Usalama kwenye.maeneo yao.


Naye mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Edith Shayo amewapongeza madiwani kwa kumaliza uchaguzi wa Serikali  za mitaa kwa amani na usalama ambapo ametoa wito kwa madiwani kuwasistiza wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa