• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya siasa CCM Wilaya ya Tandahimba yatembelea miradi ya maendeleo

Posted on: July 22nd, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tandahimba  imefanya ziara ya siku mbili ya kutembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Wilaya na kuridhishwa nayo

Mwenyekiti wa CCM  Wilaya ya Tandahimba Omari Nang'uta (kulia) akikagua mradi wa zahanati ya Miuta

Katika ziara ya kamati ya siasa ambayo iliongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Tandahimba  ndg. Omari Nang’uta ,aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala,Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mhe.Katani Katani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ndg. Said Msomoka na wakuu wa idara na vitengo walitembelea miradi ambayo inaendelea kutekelezwa katika kat a mbalimbali ndani ya Wilaya

Kamati ya siasa,Dc Sawala ,Mkurugenzi na wakuu wa idara wakifurahia jambo

Akitoa majumuisho ya ziara hiyo ya siku mbili Mwenyekiti  wa CCM Wilaya amesema kamati imeridhishwa na miradi hiyo lakini kuna baadhi ya miradi  inahitaji usimamizi wa ziada ili imalizike kwa wakati iwanufaishe wananchi wa eneo husika kwa wakati

Kamati ya siasa ,Mbunge,na wakuu wa Idara wakikagua miradi

“Tumeiona miradi  inakwenda vizuri lakini ipo baadhi inasuasua sisi tuombe usimamizi uendelee ili miradi imalizike kwa wakati wananchi waweze kupata huduma hiyo ,”amesema Mwenyekiti

Mradi wa Maabara  Mdimba sekondari ambao upokwenye hatua za  mwisho

Naye Dc Sawala amesema kuwa katika kutekeleza miradi ushirikiano na mawasiliano kwa wahusika wanaosimamia miradi inakuwa ni chachu ya miradi kumalizika kwa wakati na kuwa bora

Dc Sawala akieleza jambo

Aidha naye Mhe.Katani Katani amesema pamoja na miradi hii kuwa bora na baadhi kusua sua  jukumu la wasimamizi wa miradi ni kuhakikisha wazabuni wanaleta vifaa kwa wakati eneo la mradi ili wananchi washiriki kikamilifu katika miradi yao

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mhe.Katani akielezea jambo kwenye ujenzi wa mradi wa sekondari ya Mndumbwe

Mkurugenzi Mtendaji ndg Msomoka  amewahikikishia kamati ya siasa kuwa pale ambapo yameonekana mapungufu yatarekebishwa , usimamizi na ufuatiliaji utakuwa wa mara kwa mara ili miradi iwe bora na imalizike kwa wakati kwakushirikiana na wataalam

Mkurugenzi Mtendaji ndg Said Msomoka  akiwa na wataalam na kamati kwenye mradi wa sekondari ya Litehu


 

  

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa