• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Fedha yaridhishwa Kasi ya Ujenzi wa Vyumba 10 vya Madarasa

Posted on: November 3rd, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Kamati ya Fedha ,Utawala na Mipango ya Halmashauri  ya Wilaya ya Tandahimba  imeridhishwa na Kasi ya Ujenzi wa Vyumba kumi vya madarasa unaoendelea ikiwa ni maandalizi ya Kidato cha Kwanza mwaka 2023

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  Mhe.Baisa Baisa Novemba 3,2022 baada ya kutembelea na kukagua  miradi ya Maendeleo kwa kipindi cha Robo ya kwanza mwaka 2022/2023

“Tumetembelea miradi nane ya Maendeleo ya Afya na Elimu ,lakini katika Elimu tumetembelea ujenzi wa v yumba kumi vya madarasa ambapo fedha tumepokea mwezi wa kumi kwa ajili ya maandalizi ya kidato cha kwanza mwakani,ujenzi wa madarasa hayo unakwenda kwa kasi na ubora sisi kamati tumeridhishwa kwa hilo na tunamshukuru Mhe.Rais kwa  fedha za ujenzi wa madarasa,”amesema Mwenyekiti

Miradi  iliyotembelewa na Kamti ya Fedha ni Ukarabati wa Wodi ya Kutengwa iliyopo Hospitali ya Wilaya ya Tandahimba,Ujenzi wa Kituo cha Afya Mihambwe,Ujenzi wa Zahanati ya Chikongo,Ujenzi wa Vyumba vitatu vya madarasa  shule ya Sekondari Kwanyama

Aidha Miradi mingine iliyotembelewa ni Umaliziaji wa Ujenzi wa Zahanati ya Dinduma,Ujenzi wa vyumba vitatu vya Mdarasa Shule ya Sekondari Mndumbwe,Ujenzi wa vyumba vine vya madarasa  Shule ya Sekondari Tandahimba na Ujenzi wa Marasa mawili ya Awali ya Mfano Shule ya Msingi Mjimpya iliyopo Kata ya Tandahimba

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa