• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

“Hakikisheni wanafunzi wote wanahudhuria shule katika maeneo yenu”DED

Posted on: January 12th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndg.Mussa Gama amewasistiza Watendaji Kata kuhakikisha wanafunzi walioandikishwa wanahudhuria shule lakini pia wanafunzi wa madarasa mengine

Amesema hayo  Januari 12,2023 wakati akizungumza na Watendaji Kata zote 32 zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba katika kikao kazi kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Halmasahauri

Watendaji Kata wakiwa katika kikao kazi

“Hali ya Uandikishaji kwa darasa la kwanza hadi sasa ni asilimia 96 na awali ni asilimia 88 lengo tufikie asilimia 100 nawasistiza katika maeneo yenu hakikisheni wote walioandikishwa wanahudhuria shule,lakini hata madarasa mengine ya shule za Msingi na Sekondari na hatua zichukuliwe kwa wanafunzi watoro,”amesema Mkurugenzi

Aidha amewasistiza kuongeza kasi katika usimamizi wa miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao,Utekelezaji wa afua za lishe,usafi wa mazingira,ukusanyaji wa mapato,usafi wa mazingira na kila kata ipande miti isiyopungua thelathini (30) katika shule,zahanati,vituo vya afya,ofisi za kata na vijiji katika kipindi hiki cha msimu wa mvua

“Nawapongeza kwa kipindi  cha nusu mwaka mmeweza kusiammia na kutekeleza yale ambayo tuliazimia sasa twende na kasi zaidi tukayatekeleze katika vipindi hivi viwili vya kumaliza mwaka wa fedha,”Mkurugenzi

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Utumishi na Rasilimaliwatu Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Bi.Jane Mallongo ametoa wito kwa Watendaji Kata kuendelea kuzingatia Miongozo,taratibu,sheria na kanuni za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao


Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa