• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Chaurembo asistiza ukusanyaji wa mapato Halmashauri ya Tandahimba

Posted on: February 12th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Mariam Chaurembo amesistiza ukusanyaji wa mapato ya ndani ili kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo itawanufaisha wananchi

Amesema hayo katika kikao maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya(DCC)  ambacho kimepitia mapendekezo ya Rasimu ya  mpango .na Bajeti ya Wilaya kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Mhe Chaurembo amesema kuwa ili kuongeza ukusanyaji wa mapato usimamizi wa karibu unahitajika katika ukusanyaji wa mapato wa vituo vya afya sambamba na kufuatilia POS zote 

‘ Tusitegemee zao moja la korosho angalieni na vyanzo vingine ambavyo vikisimamiwa vitaongeza mapato ya Halmashauri,lakini niwashauri ofisi ya TRA Wilaya kushirikiana pamoja na Halmashauri ili muweze kukusanya kodi,usipokusanya mapato ni ngumu kufikia malengo,”amesema Mhe.Chaurembo

Aidha Naye Mwenyekiti wa Halmsahuri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amepongeza ushauri uliotolewa katika kikao hicho na kuahidi kusimamia maelekezo na  maazimio ambayo yametolewa katika kikao hicho

Katika kikao cha DCC  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imewasilisha rasimu ya mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 ambapo imekasimia kukusanya,kupokea na kutumia shilingi 41,581,076,000,TARURA Tandahimba imewasilisha mpango wa rasimu ya bajeti 2023/2024 shilingi 7.983,890,000,rasimu ya bajeti ya TFS Tandahimba shilingi 184,828,400, rasimu ya bajeti ya TRA Tandahimba shilingi 1,026,635,828 na RUWASA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa