• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba yapata Hati safi kwa miaka mitano mfululizo

Posted on: June 16th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imepongezwa kwa kupata hati safi ya Mdhibiti na  Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali kwa miaka mitano mfullizo ikiwa ni miongoni mwa Halmashauri 17 zilizopata hati safi kwa miaka mitano mfululizo kati ya Halmashauri 185 nchini

Ndg Fasteki  Mwampashe kutoka Ofisi  ya CAG Mkoa wa Mtwara akisoma taarifa kwenyekikao maalum cha Baraza la madiwani

Akizungumza kwenye Kikao maalum cha Baraza la madiwani jana tarehe 15/06/2021 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Tandahimba mgeni rasmi ,Kaimu Mkuu wa  Mkoa wa Mtwara Mhe.Sebastian Waryuba ameipongeza Halmashauri kwa jitihada za kusimamia shughuli mbalimbali na kuwezesha Halmashauri  kupata hati safi

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Sebastian Waryuba akizungumza jambo  kwenye kikao maalum cha Baraza la madiwani

“Ni faraja kwa Mkuu wa Mkoa  kuona Halmashauri zake zinapata hati safi,tunaipongeza sana Halmashauri kwa kupata hati safi kwa miaka mitano mfululizo, hati chafu ni mbaya hakuna anayeifurahia ,lakini pia  tuendelee kusimamia bajeti ili malengo yaweze kufikiwa sambamba na kusimamia miradi ya maendeleo katika maeneo husika,”amesema Waryuba

Wakuu wa Idara na kamati ya ulinzi na usalama wakifatilia kwa makini kikao  maalum cha baraza la madiwani

Aidha naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Said Msomoka akisoma taarifa ya jumla ya mwaka 2019/2020  ya ukaguzi wa hesabu za Halmashauri amesema katika mapendekezo 23 ambayo yamefanyiwa kazi ni mapendekezo 13 ambazo hoja zake zimefungwa na mapendekezo 10 hoja hazijafungwa lakini zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji

Mkurugenzi Mtendaji Ndg Said Msomoka akisoma taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2019/2020

“Katika mapendekezo hayo ambayo hayajafungwa  taarifa ya miradi ya mfuko wa afya  ina mapendekezo 4,mapendekezo 2 yamefanyiwa kazi na hoja zake kufungwa hivyo kubaki mapendekezo mawili na hoja zingine zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji,”amesema Ndg Msomoka

Mwekahazina Ndg Ally Machela akielezea hoja ambazo zipo katika hatua za utrkelezaji

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa