• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

ALAT MKOA WA SONGWE WAFIKA TANDAHIMBA KUJIFUNZA UENDESHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU.

Posted on: July 2nd, 2024

Ujumbe kutoka Jumuiya  ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Mkoa wa Songwe ukiambatana na Wakuu wa Wilaya na Wataalamu umefika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Kwa ziara ya Siku Mbili kwa ajili ya kujifunza jinsi  Mfuko wa Elimu unavyotekeleza Miradi ya Maendeleo katika Wilaya hiyo.


Awali akitoa wasilisho la Bodi ya Mfuko wa Elimu mbele ya wageni hao Katibu wa Bodi ya Mfuko wa Elimu Tandahimba Christian Mazuge amesema katika kipindi cha Miaka 9 tangu kuanzishwa kwa Mfuko wa Elimu Mwaka wa Fedha 2015/2016-2023/2024 Jumla ya Tsh. Bilioni 7.2 imeweza kuboresha miundombinu ya Sekta ya Elimu katika 

Wilaya hiyo.


Ametaja baadhi ya Miradi iliyotekelezwa na Mfuko wa Elimu ikiwemo Vyumba vya Madarasa  199 vimejengwa katika Shule za Msingi na Sekondari, Ujenzi wa  Matundu  365 ya Vyoo, Ununuzi wa Madawati 13, 700, Ujenzi wa Vyumba 77 vya Maabara, Ujenzi wa Mabweni na Ujenzi wa Nyumba 36 za walimu.


Kadhalika Mfuko wa Elimu unaendelea na Ujenzi wa  Shule Mpya ya Msingi Kijiji Cha Malamba yenye Gharama ya Tsh.Milioni 100 yenye Vyumba vinne na Ofisi.


ALAT Songwe imepongeza juhudi za  Halmashauri ya Tandahimba Kwa kuboresha Elimu kwa Wananchi na kujenga miundombinu kupitia Mfuko wa Elimu na kuahidi kwenda kujifunza zaidi ili waweze kutekeleza katika Mkoa wa Songwe .


Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amesema Wananchi wa Tandahimba wamekuwa na Mwitikio mkubwa wa kuunga juhudi za Serikali katika kuboresha Maendeleo ikiwemo Sekta ya Elimu na hivyo wamekuwa tayari kuchangia fedha kupitia Mfuko wa Elimu Kwa ajili ya Ujenzi wa Madarasa, Maabara, Vyoo sambamba na kununua Madawati.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa