• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Miradi ya Maendeleo yote yaridhiwa na Mwenge wa Uhuru

Posted on: October 8th, 2019

Pichani: Wakimbiza Mwenge Kitaifa 2019 wakikagua mradi wa Maji Makonde

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Miradi ya Maendeleo   ya Wilaya ya Tandahimba  yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 1.7 imeridhiwa  baada ya kutimiza viwango na ubora  vinavyotakiwa na Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa  Mzee Mkongea Ally .

Alisema Katika Miradi hiyo ambayo ameizindua  yote imekidhi vigezo  na ubora unaotakiwa  kama katika miradi ya madarasa lidumbe mtoni,chanzo cha maji mahuta na mradi wa maji Makonde

“Mwenge haupo kwa ajili ya kumuonea mtu wala kumpendelea mtu miradi  hii tunayoizindua imekidhi ubora na vigezo vinavyotakiwa hivyo sisi tumeridhia,na tunawapa hongera kwa kazi  nzuri ya kumuunga mheshimiwa Rais kwa kufanya katika uadilifu” alisema Mkongea Ally

Naye Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba katika taarifa yake kwa   Mkimbiza Mwenge wa Uhuru alisema kuwa maambukizi ya  virusi vya Ukimwi katika Wilaya ya Tandahimba  yamepungua

“Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi katika Wilaya yetu yanaonekana kupungua  hii ni hatua nzuri lakini niwaombe wananchi waendelee kuchukua tahadhari kuhusu ugonjwa huu”, alisema Waryuba






Matangazo

  • Ratiba ya Usafi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi. January 03, 2018
  • Siku ya mazoezi kila jumamosi ya pili ya mwezi January 03, 2018
  • TANGAZO LA UJIO WA MWENGE WA UHURU 2018 WILAYANI TANDAHIMBA June 09, 2018
  • Soma

Habari mpya

  • Halmashauri ya Tandahimba yapokea wakimbizi 165 Kutoka Msumbiji

    November 20, 2019
  • DC Tandahimba awataka viongozi wa dini kuhubiri amani na utulivu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

    November 13, 2019
  • KOROSHO ZOTE GHALA KUU LA TANDAHIMBA ZAPATA MNUNUZI.

    November 11, 2019
  • Halmashauri ya Tandahimba yaongoza Kimkoa Chanjo ya Taifa ya Surua Rubella na Polio

    November 07, 2019
  • Soma

Video

Byakanwa Afunga mwaka kwa mikakati ya mabadiliko
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimba.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa